Asichokitarajia ni pale wakati zawadi zinamiminika kwake msanii wa kundi hilo Madee alimkabidhi funguo ya gari na kuomba waende nje akamkabidhi gari hilo.
Gari alilozawadiwa ni aina ya BB NEW MODEL lililoagizwa Japan na kumkabidhi mbele ya waliohudhuria akiwemo mwimbaji Amini, Ditto, Keisha, meneja wa kundi la Tmk Wanaume Family Said Fela na watu wengine wengi.
Jamaa kafanya vizuri tunaomba na wasanii wakubwa wenye mkwanja tunawajua basi wafanye hivyo nao ni mfano mzuri;
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment