Wednesday, January 1, 2014

Basi la TAQWA lapatapa ajali mbaya Mikumi Morogoro.Wawili wathibitishwa kufa.

Basi la Taqwa limepata ajali maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro wakati likitaka Kuovertake Lorry Lililokuwa limebeba mbao.

Baadhi ya majeruhi wanasema madereva wawili wa basi hilo walilala na kumwachia msimamizi wao aendeshe ndipo alijaribu kulipita lorry lililobeba Mbao kushindikana baada ya mwendo wa basi hilo ambalo ni Nissan Dizel kuzidiwa na mwendo wa lorry hilo aina ya Scania.

 Basi la Princes Muro lilifika eneo la tukio haraka na kutoa msaada wa kuwapeleka majeruhi hospitali ya Mikumi lakini bado wanahitaji huduma ya haraka ya hali namali.
 Ukiangalia vizuri utaona Mbao zimeingia kwenye basi hapo mbele.

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya

Tutazidi kukujulisha kinachoendelea na Poleni majeruhi na jamaa za majeruhi tunawaombea mpate nafuu mapema.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online