Thursday, December 11, 2014

PICHA MBALI MBALI ZA MSHINDI WA BBA HOTSHOTS AKIPOKELEWA KWA KISHINDO JIJINI DAR.


Mshindi wa zaidi ya milioni 500 za shindano la Big Brother Hotshots, Idris Sultan (katikati) baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.

Mama yake Idris Sultan, Naima Idris  akimpokea mtoto wake.

Idris akiongea na waandishi wa habari.

...Waandishi wakichukua picha.

Waandishi wa habari na baadhi ya ndugu na marafiki wakimsubiri.

Msafara ukiondoka Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere


Idris akiwasili katika Hyatt Regency Dar Es Salaam aliyofikia baada ya kutoka Sauz.

BILIONEA NIGERIA AMZAWADIA TAYO $ 350,000 BAADA YA KUKOSA ZA BIG BROTHER HOTSHOTS.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online