Msanii wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’.
Akipiga stori na paparazi wetu, Vai alisema hawezi kutumia muda wake kupika awapo nyumbani kwani kazi hiyo hufanywa na hausigeli.
“Mimi nikiwa nyumbani sipiki, mpenzi wangu akija kwangu tutanunua chakula, tutakula kisha tutaendelea na mambo yetu lakini siwezi kuingia jikoni kupika, kazi hiyo atafanya hausigeli,” alisema Vai.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment