Friday, October 17, 2014

VAI WA UKWELI: SIPIKI, HIYO KAZI YA HAUSI GELI MI NAMSTAREHESHA MPENZI TU!

MSANII wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ ametoa kali ya mwaka kwa kusema kuwa, licha ya kwamba sifa ya mwanamke ni kujua kumpikia mume mahanjumati, yeye hana muda wa kupika ila anajua jukumu lake ni kumstarehesha mpenzi wake tu.

Msanii wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’.

Akipiga stori na paparazi wetu, Vai alisema hawezi kutumia muda wake kupika awapo nyumbani kwani kazi hiyo hufanywa na hausigeli.

“Mimi nikiwa nyumbani sipiki, mpenzi wangu akija kwangu tutanunua chakula, tutakula kisha tutaendelea na mambo yetu lakini siwezi kuingia jikoni kupika, kazi hiyo atafanya hausigeli,” alisema Vai.

KALI YA MWAKA KUHUSU MISS TANZANIA 2O14; ETI ALIANZA SHULE YA MSINGI AKIWA NA UMRI WA MIAKA 1.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top