Saturday, October 25, 2014

MAMA KANUMBA AMTAKA WEMA KUZAA FASTA.

MAMA wa aliyekuwa nguli wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amempa darasa la kuzaa haraka mwigizaji Wema Sepetu na mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Msanii wa filamu Bongo Wema Sepetu.

Mama Kanumba alifunguka hayo hivi karibuni alipokuwa akipiga stori na mwanahabari wetu ambapo alipotakiwa kutoa ushauri juu ya penzi la Wema aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanaye, mama huyo alisema azae haraka kwani umri haumsubiri.

“Kanumba hakuwahi kunitambulisha mwanamke yeyote zaidi ya Wema na aliapa kumuoa, akaniambia hawezi kuniletea mwanamke mwingine, nimshauri Wema azae na bebi wake kwani mtoto ni faraja kwake,” alisema mama Kanumba.

WEMA ANAPONDA RAHA NCHINI CHINA MCHEKI HAPA.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top