Msanii wa filamu Bongo Wema Sepetu.
Mama Kanumba alifunguka hayo hivi karibuni alipokuwa akipiga stori na mwanahabari wetu ambapo alipotakiwa kutoa ushauri juu ya penzi la Wema aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanaye, mama huyo alisema azae haraka kwani umri haumsubiri.
“Kanumba hakuwahi kunitambulisha mwanamke yeyote zaidi ya Wema na aliapa kumuoa, akaniambia hawezi kuniletea mwanamke mwingine, nimshauri Wema azae na bebi wake kwani mtoto ni faraja kwake,” alisema mama Kanumba.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment