Monday, October 20, 2014

LINAH, ATIBUANA NA MCHUMBA’KE KISA ETI LINAH ANAPOKWENDA KUPIGA SHOO HUWA ANAMSALITI.

MCHELE ulionyooka! Staa wa Bongo Fleva, mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Estelina Sanga ‘Linah’ na mchumba’ke, Nangari Kombo wanadaiwa kutibuana, kisa kikidaiwa ni maneno ya wanafiki yasiyokuwa na ukweli.

Staa wa Bongo Fleva, mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Estelina Sanga ‘Linah’

Habari za chini ya kapeti zilinyetisha kwamba mtiti kati ya wawili hao ulijiri juzikati baada ya Kombo kudaiwa kuanza kumtuhumu Linah kuwa anapokuwa kwenye ziara za matamasha kama Fiesta huwa anamsaliti na wanaume wengine.

Lina akiwa na mpenzi wake, Nangari Kombo.

Chanzo hicho kilidai kwamba, kufuatia madai hayo Kombo alimuanzishia Linah bonge la tafrani na kujikuta kila mmoja anachukua hamsini zake.
Linah alipoulizwa kuhusu ishu hiyo alisema: “Ni kweli kulitokea kutoelewana but (lakini) tumeyamaliza, tupo vizuri sana.”

MTI ULIOANGUKA NA KUCHOMWA MOTO MIAKA 3 ILIYOPITA WASIMAMA GHAFLA.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online