Tuesday, October 14, 2014

HUYU NDIYE KIJANA ALIYESABABISHA MWANADADA HUYU WA CHUO CHA UHASIBU SINGIDA KUJICHOMA KISU KISA KUMTOLEA NJE.


Mwanadada Moza Kassim mwanafunzi wa chuo cha Uhasibu Tawi la Singida, inadaiwa kuwa usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi iliyopita mkoani Singida, alijibizana na mpenzi wake ambaye eti aligundua kuwa ana mpenzi mwingine na katika vuta ni kuvute hawakufikia muafaka ndipo mwanadada akamwambia mpenzi wake kuwa anajichoma kisu mwanaume akajua ni utani akamjibu huwezi, mwanadada akamwambia kwa mara ya pili kisha Moza akajipiga kisu tumboni karibu na kiuno hali yake ikawa mbaya na kuanza kuchuruzika damu ikabidi rafiki zao waliokua karibu wakamkimbiza hospitali ya mkoa, na jana alihamishwa hospitalini hapo na mwanadada huyo yupo chini ya ulinzi wa jeshi la polisi, na kwa mujibu wa sheria Moza ana kesi ya kujibu.


ANGALIA PICHA MBALIMBALI ZA SHEREHE YA KUZALIWA MAPACHA WA MENGI.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top