Monday, October 20, 2014

A.Y ala shavu jingine la kufanya kolabo na msaniii mkubwa Marekani

Msanii AY ambaye hivisasa yuko nchini Marekani kwaajili yakutengeneza video ya wimbo wa ‘Touch me Touch Me’ aliofanya na Sean Kingstone na Ms Trinity.Amesema kuwa kila kitu kilienda vizuri na amepata support kubwa kutoka kwa mama yake Sean Kingstone, na kuna baadhi ya mastaa wataonekana kwenye video hiyo.Ay amesema kuwa video hiyo inaweza kutoka November mwaka huu.
Habari nzuri na kubwa ni kwamba msanii huyo amesema kuna uwezekano wakufanya colabo na msanii mkubwa wa Marekani ambae hakuwa tayari kumtaja,.Kila la kheri aarif endelea kuiwakilisha Tanzania vizuri.

Mwanafunzi wa darasa la sita wa shule ya msingi ya Themi iliyopo jijini Arusha Abakwa na watu sita.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top