Habari nzuri na kubwa ni kwamba msanii huyo amesema kuna uwezekano wakufanya colabo na msanii mkubwa wa Marekani ambae hakuwa tayari kumtaja,.Kila la kheri aarif endelea kuiwakilisha Tanzania vizuri.
Monday, October 20, 2014
A.Y ala shavu jingine la kufanya kolabo na msaniii mkubwa Marekani
Msanii AY ambaye hivisasa yuko nchini Marekani kwaajili yakutengeneza
video ya wimbo wa ‘Touch me Touch Me’ aliofanya na Sean Kingstone na Ms
Trinity.Amesema kuwa kila kitu kilienda vizuri na amepata support kubwa
kutoka kwa mama yake Sean Kingstone, na kuna baadhi ya mastaa
wataonekana kwenye video hiyo.Ay amesema kuwa video hiyo inaweza kutoka
November mwaka huu.
Habari nzuri na kubwa ni kwamba msanii huyo amesema kuna uwezekano wakufanya colabo na msanii mkubwa wa Marekani ambae hakuwa tayari kumtaja,.Kila la kheri aarif endelea kuiwakilisha Tanzania vizuri.
Habari nzuri na kubwa ni kwamba msanii huyo amesema kuna uwezekano wakufanya colabo na msanii mkubwa wa Marekani ambae hakuwa tayari kumtaja,.Kila la kheri aarif endelea kuiwakilisha Tanzania vizuri.
HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment