Shilole akifanya yake jukwaani akiwa na washezo show wake wekeend hii Mkoda Dodoma kwenye ukumbi wa Matei Lounge Area D

Nuh Mziwanda na shilole wakiwa jukwaa moja wakiburudisha mashabiki wa katika ukumbi wa matei lounge
Shilole akiimba kwa hisia stejini
hapo sasa
Shilole akienelea kuwaburudisha mashabiki wake Mkoani Dodoma
Nuhu Mziwanda Naye jukwaani kama kawaida yake akiwaimbisha Mashabiki wake ''Msondongoma"
Nuh Mziwanda kwa Steji
Wadada wa Dodoma wakiburudishwa na baba Shishi Jukwaani

0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment