Saturday, September 6, 2014

MFALME MSWATI AOA TENA BINTI WA 14 KATIKA SHEREHE ZILIZOWASHINDANISHA WAREMBO ELFU 80 WENYE BIKRA.


 Mfalme Mswati, Mfalme wa Swaziland.

KING Mswati Mfalme wa Swaziland amefikisha wake kumi na nne 14 baada ya juzi jumatatu kumchagua mke mwingine mwenye umri wa miaka 19 masharti ya mwanamke anaetakiwa kuchaguliwa ni sharti awe bikra.


Takribani wasichana 80,000 walipita mbele ya wageni wa heshima 46 ambapo na mfalme alikuwa ameketi mbele akiwa kaketi na malkia aliechaguliwa mwaka jana LaFogiyane Baadhi ya wasichana wanakimbia katika taifa hilo kutokana na sheria hizo.

wasichana hao hupita wakiwa nusu uchi ndipo mfalme anachagua mke wake kafikisha wake 14 Pia sasa katika ngoma ya mwanzi alikuwa mfalme Goodwill Zwelithini, mfalme wa Zulu taifa ambaye ana wake 6.

Huyu ni miongoni mwa wasichana wanaopinga kwa nguvu zote sheria za nchi hiyo na yeye katoroka nchini Swazland na anaamini kuwa endapo akirudi nchini kwao atakamatwa na kuuwawa kwani ndio sheria ya nchi yao.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA


PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

PICHA MBALIMBALI ZA WAREMBO WAKISOMALi WANAOSADIKIKA KUTUMIWA NA AL SHABABU KUWARUBUNI WANUME WAJIUNGE NAO

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top