Monday, September 8, 2014

JANAMKE LA MTU OVYOOO KABISA ON LILICHOKIFANYA! LAJITOA FAHAM NA KUSAULA MBELE YA WATOTO.

Ovyooo! Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani hapa, aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro na kujikuta akisaula nguo hadharani.

Pichani juu  mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul akijiachia na kumwaga radhi bila uoga.

ANTI LULU: NATAKA KUZAA NA DIAMOND.; AANZISHA BIFU KALI NA WEMA.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri juzikati, majira ya mchana kwenye kigodoro mbele ya watoto waliopokea ekaristi takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Monica lililopo maeneo ya Kihonda mkoani hapa.


Mke wa mtu, Mama Abdul akiwa na rafiki yake.

Mke huyo wa mtu alimwaga ‘lazi’ hizo kwa kushirikiana na mdogo wake wa damu aliyefahamika kwa jina moja la Jacqueline wakati wakimpongeza mtoto wa rafiki yao aliyepokea ekaristi.
“Unajua walikuwa wanatumia kigezo cha ‘ananijua nani pande hizi’ kumbe wanajishushia heshima na shughuli yenyewe ni ya kikanisa,” alisema mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo la aibu.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

Kama Ulipitwa na HII ya Njemba Kunaswa na Denti wa kiume GESTI.

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top