Wednesday, September 3, 2014

HUYU NAYE AOTESHWA NDEVU, BAADA YA KULIPUKIWA NA BOMU MIAKA 1O ILIYOPITA.

  Joseph Jones akifanyiwa operesheni ya kupandikizwa vinyweleo vya nyusi na ndevu huko Miami. Kulia ni Dk. Jeffrey Epstein  na msaidizi wake Jose Armas (kushoto).


KIJANA Joseph Jones raia wa Youngstown nchini Marekani ameoteshwa ndevu pamoja na nyusi ikiwa ni baada ya miaka 10 tangu alipojeruhiwa kwa kulipukiwa na bomu barabarani nchini Iraq.

Dk. Jeffrey Epstein akimwekea Joseph Jones alama za wapi atakapootesha ndevu.

Joseph aliyepoteza vinyweleo vya usoni mwaka 2004 baada ya kujeruhiwa na bomu hilo alifanyiwa operesheni ya masaa nane ambapo alipandikizwa vinyweleo zaidi ya 3,000 kwa ajili ya kuotesha ndevu zake na nyusi.

Joseph baada ya kupandikizwa ndevu na nyusi.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top