wananchi wakishangilia mara baada ya Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti kukata utepe kuashiria ufunguzi wa mnara wa Airtel Mkoani Ruvuma mpakani mwa Tanzania na msumbiji kwa lengo la kuboresha mawasiliano mwishoni mwa wiki,wawasiliano haya yatasaidia vijiji vya Muhukulu, Lalia, Magwamila, Nakwale, Nambendo, Mkenda, Makwaya, Miputa vyote vya Mkoani Ruvuma
Monday, September 1, 2014
Browse » Home »
Michezo
,
sports
» AIRTEL YAWEKA MINARA MIWILI YA MAWASILIANO RUVUMA KIJIJI CHA MUHUKULU NA MKENDA
AIRTEL YAWEKA MINARA MIWILI YA MAWASILIANO RUVUMA KIJIJI CHA MUHUKULU NA MKENDA
Mkuu wa wilaya songea Joseph Mkirikiti akikata utepe kuashiria ufunguzi wa mnara wa Airtel uliopo Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma mpakakani mwa Msumbiji na Tanzania ili kuboresha mawasiliano katika mkoa wa Ruvuma, anaeshudia ni meneja wa kanda ya Kusini wa Airtel Bw Straton Mushi (wakwanza kulia) ni meneja masoko wa kanda hiyo wa Airtel Bw Jonas Mbaga (kati) mwishoni mwa wiki, mawasiliano hayo yatasaidia vijiji vya Muhukulu, Lalia, Magwamila, Nakwale, Nambendo, Mkenda, Makwaya, Miputa vyote vya Mkoani Ruvuma
wananchi wakishangilia mara baada ya Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti kukata utepe kuashiria ufunguzi wa mnara wa Airtel Mkoani Ruvuma mpakani mwa Tanzania na msumbiji kwa lengo la kuboresha mawasiliano mwishoni mwa wiki,wawasiliano haya yatasaidia vijiji vya Muhukulu, Lalia, Magwamila, Nakwale, Nambendo, Mkenda, Makwaya, Miputa vyote vya Mkoani Ruvuma
wananchi wakishangilia mara baada ya Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti kukata utepe kuashiria ufunguzi wa mnara wa Airtel Mkoani Ruvuma mpakani mwa Tanzania na msumbiji kwa lengo la kuboresha mawasiliano mwishoni mwa wiki,wawasiliano haya yatasaidia vijiji vya Muhukulu, Lalia, Magwamila, Nakwale, Nambendo, Mkenda, Makwaya, Miputa vyote vya Mkoani Ruvuma
HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment