1.Kwanza hutazama tembea yako,kisela au kiheshima ili ajue kama una kazi au laa
2.Kama nguo zako zimefubaa basi unatembea juani na kama nguo zimejikunja basi hata pasi huna
3.Nakama viatu vina vumbi basi moja kwa moja inaonyesha gari huna
5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hata hug au romance hujawhi pata kokote
6.Kama nywele huja chana inaonekana hujitunzi na hata zake hutoweza kugaramia
7.Ukiongea nae mda mrefu na maswali mengi basi una mtaka ila huelewi uanzaje kidume
8.Ukimshika au ukimgusa popote basi unamtaka kimwili
9.Kama nguo zako mkanda wa suruali na viatu havi machi basi pia moja kwa moja hujielewi na hujawahi kuwa na mwanamke
10.Usipomtazama machoni hujiamini na inaonekana muongo
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment