Thursday, August 21, 2014

TIKO: NIMECHEZA SANA NA WAUME ZA WATU; ILA SASA BASI!


MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan amesema ameamua kuachana na tabia ya kuwa kimapenzi na waume za watu kwani ameona wanachosha na uhusiano huo hauna uhuru tofauti na ule wa aliye singo.

Msanii wa filamu Bongo, Tiko Hassan.

Akipiga stori na paparazi wetu, Tiko alisema ameamua kuachana na uhusiano wa kimapenzi na waume za watu kwani alikuwa na mume wa mtu lakini hakuona faida yoyote zaidi ya kukosa uhuru kutokana na kuhofia kubambwa na mwenye mali.

“Nimeamua kuachana kabisa na waume za watu kwani hakuna raha yoyote, yaani nilikuwa nakosa uhuru kabisa wa kujiachia na mpenzi wangu huyo hivyo kwa sasa nimestaafu, sitaki tena kuwa na mume wa mtu,” alisema Tiko.

School Teacher aged 32, had sex twice with 13 year pupil and sent him sexually explicit pictures.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

KATANGAZE: LIVE! MSANII WA BONGO FLEVA ANASWA AKINUNUA MACHANGU Sinza Africasana Dar.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top