Nora anadaiwa kuwa katika uhusiano na mmoja wa wasanii wa siku nyingi huku wiki za hivi karibuni akifululiza kwenda hospitali na wambeya wakadai ni ujauzito na kwamba yupo kwenye harakati za kuutoa.
ZISOME NA HIZI
Masogange Awatega mnaokesha Online;
PICHA ZA BINTI AKILIWA KA.....BANG BAADA YA KUKOLEZESHWA POMBE.
"Hakuna suala kama hilo. Hivi mtu kwenda kucheki afya yako ndo kutoa mimba? mbona wapo wanaokesha huko na hawasemwi? Sina mpango huo na huyo msanii anayejitapa kuwa nimetoa mimba yake nikimjua atanieleza ni lini nililala naye mpaka akanipa mimba",alisema Nora
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment