Wednesday, August 27, 2014

NJEMBA YAMUIMBISHA ASHA BOKO ‘TOILET’.


Msanii maarufu wa komedi, Asha Mzuzuri maarufu kama Asha Boko, Alhamisi ya wiki iliyopita alinaswa na kamera yetu akiimbishwa na njemba eneo la choo cha wanawake ndani ya Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar es Salaam siku ambayo Mashauzi Classic ilikuwa ikitoa burudani.

Msanii maarufu wa komedi, Asha Mzuzuri maarufu kama Asha Boko akiwa na njemba eneo la choo cha wanawake.

Katika tukio hilo paparazi wetu aliwanasa wawili hao wakiwa kwenye maongezi huku wakijiachia kwa pozi za kimahaba na waliposhtukia kufotolewa waling’aka na kutishia kuharibu kamera.


Asha Boko akifurahia jambo na njemba hiyo.

KIGOGO AMTOROSHA MTOTO NA KUMLAWITI.

“Hizi ni ishu zetu binafsi bwana, itakuwaje mtufuatilie mpaka chooni watu tushindwe hata kujiachia,” alisema Asha Boko, akichekacheka baada ya kubaini kubambwa.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

Video Tamu ya Nick minaj inayo Attact you for her Business that Shows Off Her Blessed Assets.

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top