Wednesday, August 27, 2014

MWANAUME AMALIZA STRESS ZOTE ZA AMANDA BAADA YA KUA NAE FARAGHA.

Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ akipozi.
BAADA ya kusumbuliwa na presha ya kushuka mara kwa mara, iliyosababishwa na stress za kutendwa na wanaume, hatimaye msanii wa filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ ametuliza mzuka baada ya kumpata mpenzi mpya anayeishi ughaibuni.     

Akipiga stori na gazeti hili majuzi, Amanda alisema ni kweli kwa sasa ana furaha baada ya kumpata mwanaume anayeamini ni muaminifu baada ya watu wake wa zamani kumtenda na hivyo kujikuta akiwa katika hali mbaya.

KIGOGO AMTOROSHA MTOTO NA KUMLAWITI.

“Kwa kweli hivi sasa nipo poa sana. Mpenzi wangu anaishi Europe na siwezi kumtaja jina wala uraia wake kwa sasa, kwa sababu naogopa kuibiwa, pia nataka nifanye sapraizi kwa mashabiki na marafiki zangu, siku ikifika ya utambulisho watamuona,”alisema.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

Video Tamu ya Nick minaj inayo Attact you for her Business that Shows Off Her Blessed Assets.

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top