Sunday, August 3, 2014

MUONEKANO MPYA WA KUTAMANISHA WA VERA SIDIKA KUTOKA KENYA HUU HAPA.


Model Vera Sidika kutoka Kenya ambaye anamake headline kwenye vyombo vya habari baada ya kujibadilisha sura yake kwa kufanya bleaching,sasa hivi karibu kupitia moja ya mitandao ya kijamii alifunguka na kusema kuwa anataka kujibadilisha tena baada ya kuona watu wengi wamemuiga na kuanza kuvaa weaves yani nywele za bandia,sasa anapanga kujibadilisha tena na hivi ndivyo atakavyo onekana




Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya. 

ISOME NA HII

Masogange Awatega mnaokesha Online;

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top