Monday, August 25, 2014

MTOTO MZURI LINAH AFUNGUKA KUHUSU BBA.

Mwimbaji wa kike aliyepiga hatua kubwa hivi karibuni na kusainiwa na kampuni ya kubwa ya Afrika Kusini NFZ, Linah alifanya mahojiano exclusively na tovuti ya Times Fm na kufunguka zaidi kuhusu mambo muhimu katika muziki wake.

MAINDA: NIMEFANYA SANA YALE MAMBO, SASA BASI!

Linah alizungumzia masuala muhimu yanayohusu muziki wake. Jinsi alivyofanya kazi na kundi la Uhuru ‘Ole Themba’ na alivyojipanga kulikabili soko la kimataifa.

Mwimbaji huyo alieleza pia mtazamo wake kwa ushirikiano kati ya wasanii wa kike na sababu inayowafanya kutokuwa pamoja na kusapotiana pamoja na mambo mengine.

Ameeleza pia kama ana mpango wa kwenda Big Brother na mtu anaempendekeza zaidi kwenda katika jumba hilo, na kuweka wazi reaction yake baada ya kupata taarifa kuwa aliyewahi kuwa mpenzi wake Amini amefunga ndoa kimyakimya.Isikilize hapa utapata taarifa kiundani kuhusu yote anayoyazungumza.
Bonyeza Play au Download hapa chini kumsikiliza live!


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA 

PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top