taarifa hizo zimetoelewa kutoka kwa Mtu asiyetaka kuweka jina lake hadharani akiwa Huko Maiduguru ambapo alikimbilia baada ya Wanamgambo hao kuvamia Kijiji Chao.
Friday, August 15, 2014
Browse » Home »
breaking
,
news
» Kundi la Wanamgambo la Boko Haram lateka tena Wanaume 100 huko Borno Nigeria.
Kundi la Wanamgambo la Boko Haram lateka tena Wanaume 100 huko Borno Nigeria.
Taarifa zimeripoti kuwa katika harakati za utekaji huo kiasi cha watu 10 walipoteza maisha na kwamba tukio Hilo Limetokea Jana Thursday, August 14, 2014.
taarifa hizo zimetoelewa kutoka kwa Mtu asiyetaka kuweka jina lake hadharani akiwa Huko Maiduguru ambapo alikimbilia baada ya Wanamgambo hao kuvamia Kijiji Chao.
Taarifa zaidi ya tukio Hili lakini kwa Lugha ya kiingereza bofya hapa.
taarifa hizo zimetoelewa kutoka kwa Mtu asiyetaka kuweka jina lake hadharani akiwa Huko Maiduguru ambapo alikimbilia baada ya Wanamgambo hao kuvamia Kijiji Chao.
HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment