Friday, August 15, 2014

Kundi la Wanamgambo la Boko Haram lateka tena Wanaume 100 huko Borno Nigeria.

Taarifa zimeripoti kuwa katika harakati za utekaji huo kiasi cha watu 10 walipoteza maisha na kwamba tukio Hilo Limetokea Jana Thursday, August 14, 2014.

taarifa hizo zimetoelewa kutoka kwa Mtu asiyetaka kuweka jina lake hadharani akiwa Huko Maiduguru ambapo alikimbilia baada ya Wanamgambo hao kuvamia Kijiji Chao.

Taarifa zaidi ya tukio Hili lakini kwa Lugha ya kiingereza bofya hapa.

BABY MADAHA APONEA CHUPU CHUPU KUBAKWA.




HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online