Mkuu wa polisi wa kitongoji cha watu weusi cha Ferguson,Tom Jackson amesema kwamba polisi walitumia gesi na risasi za bandia ili kuwatawanya watu waliokua wamefurika karibu na jengo ambalo liliteketezwa kwa moto siku ya tukio ambapo maduka yaliporwa bidhaa na magari yaliharibiwa vibaya.
Picha Mpya za Rihanna ambazo W Magazine imemtambua Rihanna kama “world’s wildest style icon”.
Kijana Michael Brown,alipigwa risasi kadhaa alipokua amening'inia kwenye gari ya polisi,na kufuatia tukio hilo FBI wanachunguza endapo kuna uvunjifu wa haki za binadamu katika tukio hilo la kuuawa kwa kijana Michael Brown.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment