Tuesday, August 12, 2014

Kijana mmoja mweusi apigwa risasi kadhaa na polisi hadi Kufa katika kitongoji cha St Louis Huko Marekani.

Kwa siku ya mpili mfululizo kumekua na mapambano katika mji wa Missouri nchini Marekani kufuatia kifo cha kijana mmoja mweusi ambaye alipigwa risasi na polisi katika kitongoji cha St Louis siku ya jumamosi.

Mkuu wa polisi wa kitongoji cha watu weusi cha Ferguson,Tom Jackson amesema kwamba polisi walitumia gesi na risasi za bandia ili kuwatawanya watu waliokua wamefurika karibu na jengo ambalo liliteketezwa kwa moto siku ya tukio ambapo maduka yaliporwa bidhaa na magari yaliharibiwa vibaya.

Picha Mpya za Rihanna ambazo W Magazine imemtambua Rihanna kama “world’s wildest style icon”.


Ni wakati huo wa utumizi wa gesi na risasi bandia ndipo raia walipoamua kuwarushia mawe polisi,polisi nao wakajibu mapigo kwa kuwarushia risasi raia hao.

Kijana Michael Brown,alipigwa risasi kadhaa alipokua amening'inia kwenye gari ya polisi,na kufuatia tukio hilo FBI wanachunguza endapo kuna uvunjifu wa haki za binadamu katika tukio hilo la kuuawa kwa kijana Michael Brown.


Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.

Lady From Kisii Infects 31 Men With HIV.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top