Monday, August 11, 2014

Jionee Picha kali za Rais Uhuru Kenyatta na Akon walipokutana na kubadilishana Mawazo nchini Marekani.

 
President Uhuru Kenyatta wa Kenya ni miongoni mwa Marais wachache wenye umri mdogo kulinganisha na Marais wengi ambapo amekua akienda sawa na baadhi ya mahitaji au tabia ya vijana wengi ikiwemo kujumuika na Wasanii wakubwa hata wa Kenya kama Jaguar ambae huwa mara nyingi anakuwepo kwenye hafla za Ikulu.


Uhuru na Akon 1

Hapa walikutana wakati wa mapumziko kwenye hili kongamano.

Hizi picha zake za Marekani kwa mujibu wa ripota wa TZA Kenya Julius Kepkoich, ni kwamba mmoja wa Waandaaji wa mkutano wa Brook Business uliowakutanisha pamoja marais wa afrika na wakuu wa kampuni za kimataifa ni mwimbaji Akon.

Akon mwenye asili ya Senegal aliezaliwa miaka 41 iliyopita ni miongoni mwa wakali wachache kutoka Afrika ambao waliweza kupenda na kuingia kwenye chati za muziki wa dunia.

Pamoja na umaarufu na utajiri wake alioupata akiwa anaishi mpaka sasa nchini Marekani, Akon bado ameendelea kuikumbuka Afrika na hata kwenye baadhi ya interview zake na anachoandika kwenye mitandao ya kijamii, anasisitiza watu kuwekeza Afrika.


Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA. 

PICHA ZA BINTI MREMBO AMBAYE NI MTOTO WA RAIS KAGAME HIZI HAPA;

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top