Thursday, August 21, 2014

JE UNAJUA MREMBO NA MSANI WOLPER NDIYE ANAYEONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!.

KUNA nini kwani? Staa wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper anatajwa kuongoza wasanii wenzake kwa kubadili namba za simu za mkononi huku baadhi ya mashoga zake wakijiuliza kulikoni?

Staa wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper.

American journalist James Foley beheaded by 'British' jihadist in horrific Islamic State video.

Kwa mujibu wa rafiki mmoja wa karibu na Wolper (jina lipo), anamshangaa sana shoga yake huyo kwani amekuwa akibadili namba za simu kwa mwaka mmoja hata mara saba.

“Unajua kwa maisha ya sasa, simu ikipotea mtu unairinyuu laini yako ileile, maana ndiyo inayojulikana na wadau. Lakini yule mwenzetu siyo. Nimeshamsevu kwenye simu yangu kwa majina ya Wolper, Wolper Tena, Wolper Nyingine, Wolper Nyingine Kabisa na Wolper Hakuna Tena, lakini zote kwa sasa hazipo hewani,” alisema shoga yake huyo huku akicheka.

Angalia hapa Video Tamu na Mpya Kabisa ya Nicki Minaj ANAKONDA.

Wolper alipotafutwa kwa simu yake ya mkononi iliyozoeleka, hakupatikana. Jitihadi zilifanyika akaja kupatikana kwenye namba mpya ambapo alisema:
“Mimi nikishapoteza laini naona uvivu kwenda kuirinyuu, ndiyo maana nanunua nyingine.”

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

SEXIEST PHOTOS OF KIM KARDASHIAN WALKING ON STREET WITHOUT UNDERWEAR.

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

School Teacher aged 32, had sex twice with 13 year pupil and sent him sexually explicit pictures.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top