Alisema Bw. Makamba hana sifa za kuwania urais kama anavyoamini kwa kutumia ushawishi wa vijana kupewa nafasi ya kuongoza nchi na kusema Watanzania wanahitaji kiongozi anayeweza kutatua kero zao.
Bw. Heche ambaye alikuwa kwenye ziara ya Oparesheni Sangara inayoendeshwa katika Mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mara, alisema Watanzania hawako tayari kuongozwa na Rais kijana.
"Makamba anaposema huu ndio wakati wa vijana kushika urais anapotoka kwani hana sifa hizo....nawaomba vijana jitokezeni kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili tuweze kuiondoa CCM madarakani na kukiunga mkono CHADEMA," alisema.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment