Thursday, August 28, 2014

BELA ‘ANYOLEWA’ NYWELE NA KALAMA.


MWANADADA anayeunda Kundi la Scorpion Girls,Isabela Mpanda ‘Bela’ amejikuta akinyoa nywele baada ya mpenzi wake wa siku nyingi, Luteni Karama kumtaka afanye hivyo.

Mwonekano mpya wa mwanadada anayeunda Kundi la Scorpion Girls, Isabela Mpanda ‘Bela’.

Bela kwa sasa anaonekana katika mwonekano wa tofauti kabisa kwani amenyoa na kubaki na nywele fupi tofauti na alivyozoeleka ambapo alisema kwamba mpenzi wake ambaye wanatarajia kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu, Karama ndiye aliyemwamuru anyoe kwani hapendi nywele ndefu.

KIGOGO AMTOROSHA MTOTO NA KUMLAWITI.


Isabela Mpanda ‘Bela’ akiwa na mpenzi wake 'Luteni Kalama' kabla ya kukata nywele.

“Imebidi ninyoe ili kumfurahisha mpenzi wangu Karama maana ninampenda kuliko kitu chochote hivyo lazima nimsikilize kwani yeye ndiye aliyenitaka nikanyoe,” alisema Bela.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

GARI LA LULU LAIBUA MAZITO, MWENYEWE AOMBA AFICHIWE SIRI.

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top