Wednesday, August 27, 2014

BABY MADAHA AJIWEKA TAYARI KIMAPENZI KWA WYRE.

 Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ akipozi na Kevin Wyre.

MWANADADA  anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ kwa sasa amejiweka kimapenzi na msanii anayetamba Kenya, Kevin Wyre baada ya kuwepo kwa tetesi za kutemana na mtu wake wa awali, Joe Kairuki aliyekuwa pia ni meneja wake.

Watu walio karibu na wawili hao wanasema uhusiano huo unafanywa kwa siri ili usivuje na kwamba kwa  sasa pia wanafanya kazi ya pamoja itakayokuwa hewani wakati wowote muda mfupi ujao.

Alipoulizwa juu ya ishu hiyo, Baby Madaha alitiririka: “Mimi nina uhuru wa kufanya chochote ninachojisikia na hakuna mtu atakayeweza kuniingilia katika maisha yangu wala uhusiano wangu kwa sababu sigongi kwa mtu kuomba msaada.”

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

Lil Wayne and his new girl friend Christiana Milan step out together wearing same shoes.

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

JIONEE BAADHI TU YA MAMBO WAFANYIWAYO MABINTI WAENDAO COCO BEACH HAPA......

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top