Gari la polisi likiwasili eneo la kanisa.
Wananchi wakishuhudia timbwili hilo.
Gari la polisi likiwa nje ya kanisa hilo kutuliza ghasia.
Geti la kanisa likifungwa baada ya vurugu hizo.
Kanisa la Moravian lililopo Kinondoni-Msisiri jijini Dar.
WAUMINI wa Kanisa la Moravian lililopo Kinondoni-Msisiri jijini Dar, jana jioni walifanyiana timbwili na wenzao waliojitenga kwenye kanisa hilo kitendo kilichopelekea askari polisi kuingilia kati na kutuliza ghasia hizo.
Waumini wa Kanisa la Moravian wakizozana wakati wa vurugu hizo.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment