Friday, July 4, 2014

Mme wa mtu achapwa fimbo hadharani baada ya kufumwa akimla denda Dent wa shule..

Hii imetokea Juzi baada ya Jibaba huyo anayejishugulisha na unyoaji nywele kwenye Barber Shop moja maeneo ya Sinza jijini Dar.

Inadaiwa Vijana na akimama waliopanga Fremu za jirani baada ya kumwonaa walisema waatamfundishe adabu ndipo wakaita watu ambapo mme huyo aliomba msamaha lakini alilazimika kuchapwa fimbo 3 matakoni la sivyo mambo yangeelezwa kwa mkeo na polisi ndipo jamaa akakubali kuchapwa.

Onyo Dent ni Dent haijalishi wa Kidato gani.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online