Wabrazil, Andrey Coutinho na Jaja (nyuma yake) wakijifua na wachezaji wenzao wa Yanga.
Jaja akiwa mbele ya wachezaji wenzake.<
Ilifikia wakati wa kuzunguka uwanja.
Mazoezi yakiendelea.
Jaja ‘akiyasikilizia’ maji ya Bongo.
…Akiendelea kujifua.
Maximo akihakikisha mazoezi yanafanywa vilivyo.
TIMU ya Yanga leo iliendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola jijini Dar es Salaam chini ya Kocha, Marcio Maximo, ambapo mshambuliaji mwingine wa Kibrazil, aliyekuja kukipiga kwenye kikosi hicho, Genilson Santana Santos 'Jaja', naye aliungana na kikosi hicho kujifua. Jaja alionesha nidhamu ya mazoezi kwenye kikosi hicho hasa pale alipokuwa akiendelea kujifua peke yake wakati wenzake wakiwa kwenye mapumziko.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment