Mbwa aitwaye Kambi wa Jeshi la polisi aliyefundishwa kukamata waharlfu.

Baadhi ya wananchi waliokuwa viwanja vya maonyesho.

Wanamuziki wa bendi ya Mpoto.

Koplo Watanda (kulia) akitoa maelekezo kwa mwandishi wa Global Publishers kuhusu matumizi na matunzo ya farasi walio nao katika jeshi la polisi.

Mchezo wa nyoka toka kwa kikundi cha Mpoto uliwavutia watu wengi kwenye PSPF.
MAONYESHO ya 38 ya biashara ya kimataifa ‘Saba Saba’ yamewavutIa watu wengi kutokana na bidhaa, huduma na michezo inayoonyeshwa katika viwanja husika vilivyoko Mtoni, Dar es Salaam.

Mbwa aitwaye Kambi wa Jeshi la polisi aliyefundishwa kukamata wahalifu.
Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment