Monday, July 21, 2014

MAITI NA VIUNGO VYA BINADAMU VYAKAMATWA NDANI YA MIFUKO BUNJU JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU.


Mmoja ya Kiungo cha Mguu kikiwa kinaonekana usiku huu

 Baadhi ya Mifuko ambamo Maiti izo zilikuwa zimewekwa


 Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo

 Watu zaidi wakiwa wanaongezeka katika eneo la Tukio

Mpaka tunaondoka eneo la Tukio Miili ilikuwa imechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa Uchunguzi zaidi, Taarifa kamili italetwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es salaam.

Endelea kufuatilia hapa.

PICHA ZOTE NA DAR ES SALAAM YETU BLOG
CHANZO: DAR ES SALAAM YETU BLOG


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top