Tuesday, July 1, 2014

KOCHA MAXIMO AKIONGOZA MAZOEZI YA YANGA COCO BEACH JIJINI DAR.

Kocha Maximo akimuelekeza jambo mshambuliaji Jerry Tegete.

Wachezaji wa Yanga wakipasha.


Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake.

Coutinho (juu) akifanya mazoezi na beki Yusuf Ngao.

Kocha mpya wa Yanga,  Mbrazili, Marcio Maximo leo Jumanne ameanza rasmi kuifundisha timu hiyo kwenye ufukwe wa Coco jijini Dar.

Maximo  aliongozana na msaidizi wake Mbrazili, Leonardo Neiva  ambapo kwa pamoja waliwapa mazoezi ya nguvu wachezaji wa Yanga sambamba na kuwapa mbinu mbalimbali ili kuhakikisha anarejesha pumzi kwa vijana wake wanaojiandaa na Ligi Kuu Bara ionayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 24  mwaka huu pamoja na michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top