Thursday, July 3, 2014

Kijana aikacha Lift ya Gari Kuelekea Kazini Kulikoni? Soma hapa.

Katika hali isiyo ya Kawaida kijana mmoja ameikacha lifti ya Mdada mmoja ambaye anafanya nae kazi katika ofisi moja maeneo ya Taifa.

Mdada huyo alimkuta kijana akisubiri Dala dala maeneo ya Tabata Relini na akasimama ampe lifti.

Kijana alienda akafungua mlango ndipo akamcheki mdada mwenyewe hapo juu akasema Tangulia Nitafuata.

Toa Maoni yako Hao Chini Kuhusu Tukio Hilo

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top