Monday, July 21, 2014

KAJALA AKANA KUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA PERFECT.



 Acha bwana! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ ameibuka na kukanusha vikali madai ya kutoka kimalovee na mtangazaji wa Clouds aitwaye Perfect.


Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Kajala alifunguka kwamba madai hayo hayana ukweli wowote na wala hana ukaribu na mtangazaji huyo.

Mtangazaji wa Clouds aitwaye Perfect.

Wakubwa Tu; Picha za u...pu za Mdada huyu alizopost mtandaoni apate KICK hizi hapa.


“Sina relation (uhusiano) kama huo na Perfect zaidi ya kazi tu,” alisema Kajala huku Perfect akiwa hapatikani hewani kila alipotafutwa.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya. 

SOMA NA HII

UWOYA AVURUMISHA TIMBWILI KUBWA KWENYE NYUMBA YA MUME WA MTU.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top