Staa wa sinema Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Dude alisema kuwa awali alikuwa agombee kupitia Chadema, lakini baadaye CCM nao kupitia kiongozi mmoja mwenye wadhifa mkubwa serikalini alimtaka agombee kupitia tiketi ya chama hicho, jambo linalomfanya abaki njia panda.
“Nipo njia panda maana Chadema wamenipa jimbo la kugombea huku kwa upande mwingine CCM nao wamenitaka nigombee kupitia chama chao yaani kwa sasa sijui cha kufanya kabisa,” alisema Dude.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment