Walipoliona basi hilo wakadhani kuwa lazima kutakuwa na askari wenye silaha ndipo wakalishambulia.
Katika shambulio hilo, dereva wa basi na askari mmoja wamejeruhiwa na hakuna mahabusu aliyetoroka wala kujeruhiwa.
Show your Support. Become a FAN! By Clicking Like Below
Kuwa. Msomajiwetu! Kwa kubofya Like Hapo chin
Contact Us
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment