Thursday, July 10, 2014

ALIYEMNG’ATA NA KUMCHOMA PASI HAUSIGELI MWILINI AACHIWA KWA DHAMANA.


Amina Said Maige (mwenye miwani) akisubiria kupandishwa kizimbani.Amina akiwa chini ya ulinzi akisubiri kupanda kizimbani....akijiziba kwa aibu kabla ya kupanda kizimbani.Wanaharakati wakiwa nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakifuatilia kesi hiyo.Wanaharakati wakisubiri kwa hamu kusomwa kwa kesi ya Amina dhidi ya hausigeli wake, Yusta.

YULE mwanamke anayejulikana kwa jina la Amina Said Maige ambaye anakesi ya kumng’ata na kumchoma kwa pasi hausigeli wake, Yusta  Kashinda (20), ameachiwa kwa dhamana.

Wanaharakati wakiwa nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakifuatilia kesi hiyo.

 Amina alisomewa mashtaka na Wakili wa Serikali, Mohamed Salum mbele ya Hakimu Mkazi, Yohana Yongolo.

Mahakama imemuachi kwa dhamana baada ya masharti yake ya kuwapata waajiriwa wawili pamoja na kiasi cha shilingi milioni tatu kila mmoja kukamilika.

Wanaharakati wakisubiri kwa hamu kusomwa kwa kesi ya Amina dhidi ya hausigeli wake, Yusta.
 Amina alikamatwa Juni 4 mwaka huu na kufikishwa Kituo cha Polisi Oysterbay kwa kupatikana na kosa la Kumng’ata, kumchoma kwa pasi na kumpiga mwili mzima, Yusta. Kesi yake ipo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar ambapo mara ya kwanza alisomewa mashtaka Juni 12 na kesi kuhairishwa mpaka Juni 26 pamoja na Julai 10.

Binti wa miaka 19 ambaye ni mwanachuo awaambukiza ukimwi wanaume 324 miongoni mwao wakiwa ni waume za watu.




Kesi yake itasomwa tena Julai 22 mwaka huu.


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top