Saturday, June 7, 2014

PENDO wa MAISHA PLUS amkomalia mwanaume Msibani eti anampenda.

“Jamani niwe mkweli tu, nampenda sana Kalala tuweke utani pembeni na mwenyewe anajua sababu nilishawahi kumwambia,” alisema Pendo.
Risasi linaendelea kuwachimba wawili hao, mzigo ukikaa sawa, tutawajuza
STAA wa Shindano la Maisha Plus ambaye sasa ni muigizaji, Upendo Mushi ‘Pendo’ ameshindwa kuzuia hisia zake za kimapendo na kufunguka kuwa anampenda sana mwimbaji Kalala Junior.
Akitema stori mbili tatu na paparazi wetu katika msiba wa dairekta George Tyson baada ya kumuona Kalala kwa mbali, Pendo pasipo kufafanua kwa undani, alisema anampenda kuliko maelezo nyota huyo wa muziki wa dansi.




Tafadhali bofya like hapo juu kama bado hujabofya upate habari mpya haraka

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top