Monday, May 26, 2014

Bingwa wa michezo ya Olympiki mbio za mita mia nane David Rudisha wa Kenya ametangaza rasmi anarudi uwanjani.

Bingwa wa michezo ya Olympiki mbio za mita mia nane David Rudisha wa Kenya ametangaza rasmi anarudi uwanjani Mei tarehe 31 mwezi huu katika mbio za Golden League huko Oregon, Marekani, baada ya kutokimbia kwa muda wa mwaka mmoja akiuguza jeraha la goti la kulia.

Rudisha, ambaye pia anashikilia rekodi ya dunia, amezungumza na John Nene huko Iten eneo la bonde la ufa wakiwa mazoezini pamoja na kusema sasa yuko sawa na tayari kukimbia tena.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top