S. Gerrard (Pen 44, Pen 71)
Penati mbili za Gerrad zimeisaidia liverpool kubaki kileleni mwa EPL wakijitapa kuwa wnaweza kunyakua ubingwa wa EPL msimu huu.
Kazi ni Mechi ijayo dhidi ya Man City ambapo atakayefungwa atakuwa na matumaini madogo sana ya kunyakua Ubingwa.
LIVERPOOL XI: (4-3-3) Mignolet; Johnson, Sakho, Skrtel, Flanagan; Gerrard, Coutinho, Henderson; Sturridge, Suarez, Sterling.
WEST HAM XI: (4-2-3-1) Adrian; Demel, Tomkins, Reid, Armero; Noble, Taylor; Downing, Nolan, Diame; Carroll.
Msimamo ulivyo kwa sasa kwa top 10
Habari na matokeo ya ligi zote tembelea Angazio Soka
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment