Sunday, April 6, 2014

Haya ndio mavazi yaliyobuniwa na mdada huyu ili kuwashawishi wanaume wamtokeeeeee..


Mavazi pia huongeza mvuto kwa vijana kwani asikudanganye mtu tabia huchunguzwa baada ya sura na umbile.

Mdada huyu hapo chini anasema kwa aina hii ya uvaaji wake ameweza kupata wanaume hadi 10 kwa siku wakimtokea.

Kazi kwenu wadada kuiga au kukacha lakini kumbukeni UKIMWI UPO na unaua.






Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online