Friday, March 28, 2014

Ona uchafu wanaofanya mabinti wa kibongo kwenye kumbi za starehe.

Kwa uvaaji wa namna hii ni nani atakayepona.Wanawake wa siku hizi baadhi yao starehe yao kubwa ni kutembea nusu uchi.Na hii ni chanzo cha kuporomoka kwa maadili ya mtanzania pili na kuongezeka kwa maambukizo wa ugonjwa hatari wa ukimwi,Uchunguzi wa blogi hii umekuwa ukishuhudia uvaaji wa namna hii nyakati za usiku katika kumbi mbalimbali za starehe hapa nchini hasa katika jiji la da.





Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top