Wednesday, March 26, 2014

Epl tar 25 March 2014! Man Utd 0-3 Man City, Arsenal 2-2 Swansea City, na Newcastle 0-3 Everton.

 Man Utd 0-3 Man City:
Mechi ya Machester Derdy ilimalizika kwa David moyes kukubali kipigo cha goli tatu kutoka kwa Pellegrin man.

Magoli ya Man city yakifungwa na  E. Džeko (1, 56), Y. Touré (90).

Arsenal 2-2 Swansea city.

The gunners walijkuta wakitoa sare ya 2-2 na swan sea city uwanjani kwao na kuporeza kabisa
matumaini ya kuchukua ubingwa msimu huu.


L. Podolski (73), O. Giroud (74) waliifungia arsenal magoli wakati W. Bony (11), M. Flamini (OG 90) ni magoli ya  Swansea city.

Matokeo zaidi ya michezo ya jana bonyeza hapa

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top