Tuesday, February 4, 2014

UVCCM MORO wakanusha matamko yanayotolewa ovyo wasema ni ya mtu binafsi si UVCCM

Mwenyekiti wa umoja wa vijana mkoa wa Morogoro Harriet Sutta akiwa na katibu wake Nicodemas Tambo wakizungumiza juu matamko yanayotolewa na baadhi ya viongozi mkoani hapa kinyume na
utaratibu.
 
Mimi nazungumzia juu ya uchaguzi tulionao mbele yetu katika wilaya ya Gairo ludewa na Tungi Manispaa ya Morogoro, vijana washiriki kikamilifu kufanya kampeni za amani na utulivi na sio vurugu.

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top