Thursday, February 6, 2014

Mchungaji.Peter Msigwa (Mb) Iringa aachiwa huru kwa dhamana, Picha za Matukio yote hapa.

 
Mchg.Peter Msigwa (Mb) Iringa Mjini akitoka mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana

 Msigwa akiwa na wafuasi wake akiwa amebebwa juu juu



Msigwa amuliwa kushushwa chini na kutembea 

  Msigwa aanza msafara kuelekea ofisi za chama Mtaa wa Mshindo
Ni baada ya kuachiwa kwa dhamana Mbunge wa Iringa Mjini Mchg. Peter Msigwa dhidi ya kesi ya kuhusishwa na mapigano ya wafuasi wa CCM na CHADEMA Mkoani Iringa katika harakati za kampeni za ugombea udiwani kata ya Nduli na kupelekea Kiongozi wa usalama CCM Kamanda Kasmu Keita kujeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top