Tuesday, January 14, 2014

Vieleele vya wanawake Mmoja kati ya hawa nusura alie jana baada ya mpenziwe kutoswa.

Tuzo za Ballon d'Or 2013 zilitangazwa jana huko Zurich na kuhudhuriwa na watu wengi wakiwemowachezajiwa zamani akama pele na Delima. lakini pia tuzo hizo zilihudhuriwa na wanawake maarufu duniani yaani yule sh wa Ronaldo ambaye ni mwanamitindo na Sh wa Messi.

Baada ya raikisho la soka ulimwenguni Sepp Blatter kumtangaza  CR7 kuwa ndiye mshindi sh wa Mesii alikuwa katika wakati mgum kwani hakuamini machoni mwake kuwa hayo yametokea yaani mpenziwe kukosa tuzo hizo ambaye yy binafsi alidhani kuwa Lionel Messi angeshindinda tuzo hiyo ya  Ballon d'Or.

Hata ronaldo mwenyewe pindi anaenda pokea tuzo hiyo machozi yalimjaa machoni sijui ni kwa vile aliona miujiza au ni nn lakini ukweli ni kwamba majeraha ya Messi ndo yamefanya CR7 kunyakua tuzo hiyo kwani upinzani aliotegemea ni kutoka kwa Messi na sio Ribbery.

Picha nyingine na video  hizi hapa.
Picha zingine :




Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top