Zitto ambaye alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, alifungua kesi katika Mahakama hiyo akipinga hatua ya Kamati Kuu ya Chama hicho iliyokutana tarehe 3 na 4 mwezi huu kujadili hatima ya uanachama wake wakati baraza kuu halijakaa na kujadili rufaa yake...
Akisoma hukumu ya kesi hiyo baada ya kuiahirisha jana, Jaji wa mahakama hiyo,Jaji Utamwa ameridhia pingamizi lililotolewa na mh. Zitto Kabwe la kutojadili uanachama wake na kuitaka kamati kuu ya CHADEMA au chombo kingine chochote kisijadili uanachama wake hadi kesi yake ya msingi ( rufaa ) itakaposikilizwa na baraza kuu la chama hicho.
Polisi wakihakikisha wafuasi wa Zitto na wale wasiomuunga mkono hawaleti mtafaruku baada ya huku,u kusomwa.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment