Monday, January 20, 2014

Kashfa Kubwa: Wachezaji Franck Ribery na Benzema mahakamani kwa kufanya ngono na kahaba wa miaka 16 tuu.

Huyu ndie kahaba mwenyewe anaitwa Zahia Dehar
Wachezaji wawili yaani Franck Ribery wa Bayern Munich na Karim Benzema wa Real Madrid wapo katika mahaka jijini  Paris leo wakikabiliwa na shitaka la kufanya mapenzi na kahaba ambaye alikuwa na miaka 16 ambalo ni kosa la jinau kufanya mapenzi na mtu asiyetimiza miaka 18 hapo 2009.
Waongozaji kesi hiyo wanasema wote wawili walifahamu kuwa kahaba huyo Zahia Dehar alikuwa chini ya miaka 18.

Ribery anashitakiwa kwa kufahamu fika  Zahia Dehar alikuwa chini ya miaka 18 mwaka 2009, alipomchukua hadi Munich kulala nae. Amekataa tuhuma hizo.

 Benzema anashitakiwa kwa kumlipa Dehar wakafanye ngono katika Paris hotel wakati akiwa na umri wa miaka 16. Amekataa kwamba hajawahi kufanya mapenzi na msichana huyo.

Wakikutwa na hatia wanatakiwa kwenda jela kwa miaka 3, lakini wakili wa  Ribery's, Carlo Alberto Brusa, amesema kuwa hana shaka kuwa mteja wake hatakutwa na hatia yoyote.

"Mr Ribery is a mature person who has faced difficult times. He is as concerned as anyone who finds himself in the criminal justice system, but at the same time calm," Alisema.

Ribery na Benzema wanatarajiwa kuiwakilisha  France katika World Cup  Brazil.
Kwa habari za michezo tembelea Anga Zetu

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top