Mwanaume mmoja anaefahamika kwa jina la Al Bayan amewashtaki wanawake watatu kwa kosa la kumkaba kumpiga na kumbaka kwa zamu hukuwakiondoka na sperm zake katika mji wa Bulawayo.
Polisi wanasema hiyo ni kesi ya sita ya ubakaji wa wanaume tangu mwaka huu uanze.
mwanaume mwingine anadai kupewa lift na wanawake wawili ambao badae walimpulizia chemiko na alposhutuka ndipo alipogundua kuwa alikua amebakwa na wanawake hao pia wlimwiba simu pamoja na pesa kiasi cha dola 20.
Pia nchini Zimbabwe kuna imani kuwa sperm za mwanaume zinatumika kufanya mwanamke awe tajiri hatujui ni kwa namn gani.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment